Shambulizi La Akina Shida

by Assorted

KES 580
We accept Mastercard, Visa and M-Pesa, as well as Cash on Delivery
Katika mji mmoja ulioko kaskazini mwa jangwa, watu wa jamii tatu wanategemea maji kutoka kisima kimoja. Mara, maji yanaanza kupotea kisimani kila usiku. Jamii zote tatu zinanyoosheana vidole vya lawama kwa sababu ya tukio hili na ugomvi unazuka kati yao. Tosha, Shana na Pato wanagundua kuwa wako na nguvu za kipekee. Ni wao tu katika jamii nzima ndio wanaotambua kuwa viumbe wanaoiba maji ni wageni kutoka sayari kame iliyoko mbali na dunia. Lakini hakuna anayeamini maneno yao. Je, wanaweza kuwakomesha viumbe hawa kunyonya maji yote kisimani na kusababisha vita?
UPC50SRB20637
SKU50SRB20637

Any item you order from our site, we will deliver to you, or for you, anywhere in Kenya.

We deliver for free for all orders above Ksh 2,000 and charge a standard fee of Ksh 250 for all orders below Ksh 2,000.

Delivery takes place within 72 hours after order confirmation.

This product does not have any reviews yet.

Add your review